At-Takathur

التكاثر

The Rivalry in Worldly Increase8 ayahsMeccan

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ﴿١

1Kumekushughulisheni kutafuta wingi.

حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ﴿٢

2Mpaka mkaja makaburini!

كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ﴿٣

3Sivyo hivyo! Mtakujajua!

ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ﴿٤

4Tena sivyo hivyo! Mtakujajua!

كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ﴿٥

5Sivyo hivyo! Lau mngelijua kwa elimu ya yakini.

لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ﴿٦

6Basi bila ya shaka mtaiona Jahiimu!

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ﴿٧

7Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.

ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ﴿٨

8Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema zote.

RELATED SURAHS