Al-Falaq

الفلق

The Daybreak5 ayahsMeccan

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ﴿١

1Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ﴿٢

2Kutokana na uovu wa alivyoviumba.

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ﴿٣

3Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.

وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ﴿٤

4Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ﴿٥

5Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.

RELATED SURAHS