An-Nas

الناس

Mankind6 ayahsMeccan

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ﴿١

1Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa watu.

مَلِكِ ٱلنَّاسِ﴿٢

2Mfalme wa watu.

إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ﴿٣

3Mungu wa watu.

مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ﴿٤

4Kutokana na uovu wa Shetani mtia wasiwasi, ajifichaye mno (Al-Khannaas).

ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ﴿٥

5Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu.

مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ﴿٦

6Kutokana na majini na watu.

RELATED SURAHS