Al-Humazah

الهمزة

The Gossipmonger9 ayahsMeccan

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ﴿١

1Ole wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.

ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ﴿٢

2Aliyekusanya mali na kuihesabu.

يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ﴿٣

3Anadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!

كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ﴿٤

4Hasha! Hakika atavurumishwa katika Hutwama.

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ﴿٥

5Na ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?

نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ﴿٦

6Ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.

ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ﴿٧

7Ambao unapanda nyoyoni.

إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ﴿٨

8Hakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.

فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ﴿٩

9Kwenye nguzo zilizonyooshwa.

RELATED SURAHS