Az-Zalzalah

الزلزلة

The Earthquake8 ayahsMedinan

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا﴿١

1Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا﴿٢

2Na itakapotoa ardhi mizigo yake!

وَقَالَ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا لَهَا﴿٣

3Na mtu akasema: "Ina nini?"

يَوۡمَئِذٖ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا﴿٤

4Siku hiyo itahadithia habari zake.

بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا﴿٥

5Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

يَوۡمَئِذٖ يَصۡدُرُ ٱلنَّاسُ أَشۡتَاتٗا لِّيُرَوۡاْ أَعۡمَٰلَهُمۡ﴿٦

6Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ﴿٧

7Basi anayetenda chembe ya wema, atauona!

وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ﴿٨

8Na anayetenda chembe ya uovu, atauona!

RELATED SURAHS